Friday, November 30, 2012

ARUSHA AFRICAN FILM FESTIVAL

Nimepata mwaliko ARUSHA AFRICAN FILM FESTIVAL ambayo itakayo jumuisha mastar kutoka Africa..

Thursday, November 29, 2012

R.I.P SHALO MILIONEA

Majonzi na vilio vilitawala kwenye msiba wa msanii wa Bongo Fleva pamoja na Bongo Movie ndugu yetu Shalo Milonea uliotokea katika Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga kwa ajali mbaya ya gari msanii huyo alipokuwa akielekea kwenda kumuona mam yake mzazi na kukutwa na mahuti hayo inasikitisha sana jinsi vijana wadogo wanapoaga Dunia ila twapaswa kumshukuru Mungu kwa kila jambo kwanio kazi ya Mungu haina makosa..

The Greatest nikiwasili kwenye msiba wilayani Muheza kwenda kumpuzisha ndugu yetu mpendwa kwenye nyumba yake ya milele


 Majonzi na vilio vilitawala..

Rechel Saguda na Batuli kwenye majonzi makubwa sana poleni dada zangu.
.
 Odama wa katikati akisikiliza jambo fulani hivi...

Mwili wa Marehemu ukiwasili nyumabi kwao..

Watu walizimia sana kwa uchungu wa kumpoteza ndugu yetu..

 The Greatest nikiwa kwenye majonzi..

 Roma mwanamuziki wa kizazi kipya


 Mzee Majuto mwenye kanzu akiwa pamoja Waziri Mwanamuziki wa wa Band ya Njenje wana Kinyaunyau..

Mh;Nape naye alikuwepo tunakushukuru sana kwa kujitoa katika misiba yote miwili Asante sana Muheshimiwa kwa moyo uliotuonyesha wasanii wewe ni mfano wa kuigwa na viongozi wanzako..

Majuto akiongea machache juu ya marehemu.

Mwili wa Marehemu tayari kwa kwenda kuzikwa.

Mwili ukipelekwa sehemu rasmi iliyoandaliwa kwa kuzikwa marehemu Shalo Milionea.

Poleni sana wasanii wetu wa Tanzania kumpoteza ndugu yetu sisi tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi

Mtunisie Msanii wa filamu mwenye shati jekundu wakimsindikiza Msanii mwenzake Shalo Milione.

Safari ya Mwisho ya Shalo Milonea tunapenda kuwapa pole familia ya Shalo kwa msiba mkubwa mlioupata 

R.I.P JOHN STEPHANO

Mwaka huu 2012 umekuwa ni mwaka mbaya kwa wasanii wa tasnia tofauti. Maana tumepata misiba mingi kwa wakati mmoja lakini hatupaswi kulalamika maana kazi ya Mungu haina makosa, Msanii aliyekuwa akichipukia kwa kasi ndugu yetu mpendwa wetu Bwana John Stephano alipofariki kwa matatizo ya tumbo Mungu ailaze roho ya maremu pema peponi sisi tulikupenda ila Mungu kampenda zaidi yeye mbele yetu sisi nyuma yake

 Wasanii wakiwa katika majonzi makubwa sana..

 Slim na Kupa..

 Wasanii wakiwa na maswali makubwa juu ya aina ya vifo wanavyovipata wasanii wenzetu

 Adam Kuambiana msanii wa filamu kama mnamkumbuka nilicheza naye katika sinema kali kwa jina Fake Pastor..

 Ratiba zikiendelea.

 Tino akisaini katika kitabu cha kumbukumbu..


 Baba wa marehemu Mzee Stephano..

 Ratiba za kuwaga mwili wa marehemu zikiendelea.

 Watu walikuwa wengi sana..

 Gari lililobeba mwili wa marehemu..

 Mambo yakiendele na watu kujiandaa kwenda makaburini.

 Batuli katika majonzi..

Wasanii wakimpeleka mwenzao kwenye makzi yake ya kudumu.


 Tukielekea makaburini.

 Mwili wa marehemu ukiwasili makaburini..

 Baadhi ya viongozi wa bongo movie unit wakijadili jambo.

 Cloud.

 Baba wa marehemu akiwasili..

 Mwili marehemu ukitolewa kwenye gari nakupelekwa kwenye sehemu iliyoandaliwa

 Hii ndi nyumba ya marehemu..

 Padre.

 Tukiuingiza mwili marehemu kwenye kaburi

 Ni huzuni kubwa sana unapondokewa na mtu uliyekuwa naye karibu.

 Parde akimuombea marehemu..

 Baba mzazi wa marehemu akiweka udongo..

Majonzi..

 Huruma

 Nape Mnauye akiweka udongo wa mwisho kwa marehemu

 Saimon Mwakifamba Rais wa wasanii Tanzania nzima naye akiweka udongo wa mwisho

Tunapenda kuwapa pole familia ya marehemu sisi tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi

DUBAI

Kwanza kabisa niwaombee msamaha wadau wa blog hii kwa kimya kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu.katika safari yangu ya Dubai nilipata fursa ya kutembelea sehemu zinazouza magari nakujionea magari makali sana kabla ya muda wa Harusi ya kufika embu cheki mwenyewe utaniambiaaa....

Range Rover

Hatari sana wadau

 Posh....

 
Matembezi yaliendelea kama kawaida.

Baaada ya kusafisha macho tulipata nafasi ya kwenda kupata msosi nikiwa pamoja na Jb pamoja na Cloud

Jb akishangaa jambo nami nikiendelea kugonga msosi.

Cloud.....

Baada ya shughuli zote tulizofanya mchana, ulifika muda wa kuelekea ukumbini ilipofanyika Harusi ya muigizaji wa kike Auntie Ezeckiel tucheki mambo yalivyokuwa...

Haya mambo yalianza namna hii Auntie akiwa ndani ya shela akiwa pamoja na mumewe Sunday( Demonte)

Mambo yakawa hivi Bwana Harusi akimvisha pete mkewe kwa heshima kubwa sana ya kupiga goti..

Ulifika muda wa Bi harusi kuchukua pete na kumvisha Mumewe.

Mapaparazi wakifanya mambo yao kama kawaida yao.

The Greatest nikiwa  na JB.

Ratiba zikiendelea.


Antie Ezekiel na mumewe Sande(Demonte).

Wakicheza Blues

Wakipata chakula.

Mdogo wake Demonte(kushoto) na Rehema rafiki wa Antie

JB..

Jb pamoja na mdogo wa Bibi Harusi Kimoko ..

Kama kawaida Bibi Harusi alibadilisha nguo nakuanza kuserebuka kuolewa raha jamani wacha Dada afanye yake

Demonte

Rhumba likiendelea..

Mambo yalikwisha na kesho yake tukafanya matembezi ya maeneo mbalimbali ..